Universities

Universities

Kozi Zinazopatikana Ukiwa na HGL, HGK, HKL, KLF, ECA au HGE

Devine Vision Tech · Mwongozo wa Combination za Arts na Biashara Kozi Zinazopatikana Ukiwa na HGL, HGK, HKL, KLF, ECA au HGE Makala hii inamsaidia mwanafunzi wa kidato cha sita kuona kozi zinazoweza kuendana na combination yake, vyuo vinavyotoa kozi hizo, vigezo vya kujiunga, pointi, nafasi na muda wa masomo. Imeandaliwa kwa matumizi ya elimu; kabla ya kutuma maombi, hakiki tena kwenye TCU na tovuti rasmi ya chuo husika. 641Chaguo za kozi/chuo 397Majina ya kozi 78Vyuo vyenye match 93Vyuo vyote vimekaguliwa Combinations Zilizochambuliwa Combination hizi ni za arts na biashara. Kila combination imechunguzwa kwa kuangalia kama vigezo vya programme vinataja angalau masomo mawili yanayolingana na combination hiyo, au kama programme imeelezwa wazi kupokea masomo yasiyo ya dini bila sharti maalumu la sayansi au hisabati. HGL History, Geography and English Language 512 chaguo za kozi/chuo HGK History, Geography and Kiswahili 504 chaguo za kozi/chuo HKL History, Kiswahili and English Language 480 chaguo za kozi/chuo KLF Kiswahili, English Language and French 451 chaguo za kozi/chuo ECA Economics, Commerce and Accountancy 523 chaguo za kozi/chuo HGE History, Geography and Economics 605 chaguo za kozi/chuo Angalizo kwa wanafunzi: Makala hii ni kwa educational purpose. Usitumie kama uthibitisho wa mwisho wa udahili. Soma TCU admission guidebook, tovuti ya chuo na mfumo wa maombi kabla ya kuchagua programme. Makundi Makuu ya Kozi Zinazoweza Kupatikana Kozi zimepangwa kwenye makundi ili mwanafunzi achague kulingana na kipaji, malengo ya kazi na uwezo wa kujiajiri. Elimu na Ualimu 76 chaguo kutoka 38 vyuo. Bachelor Degree in Commerce and Accountancy with EducationBachelor Degree in Mathematics and Information Technology with EducationBachelor of Accountancy and Economics with EducationBachelor of Business with EducationBachelor of Commerce with EducationBachelor of Science in Instructional Design and Information Technology Sheria 22 chaguo kutoka 20 vyuo. Bachelor of Arts in Law EnforcementBachelor of Law with ShariahBachelor of LawsBachelor of Laws (Evening Session)Bachelor of laws Utawala, Siasa na Diplomasia 20 chaguo kutoka 14 vyuo. Bachelor Degree in Governance and Strategic LeadershipBachelor Degree in International Relations and DiplomacyBachelor Degree in Leadership and GovernanceBachelor Degree in Leadership, Ethics and GovernanceBachelor of Arts In Public AdministrationBachelor of Arts in Governance and Development Habari, Mawasiliano na Public Relations 27 chaguo kutoka 19 vyuo. Bachelor Degree in Marketing and Public RelationsBachelor Degree in Marketing and Public relationsBachelor of Arts (Mass Communication)Bachelor of Arts in Communication StudiesBachelor of Business Information and Communication TechnologyBachelor of Science in Multimedia Technology and Animation Lugha, Fasihi na Tafsiri 13 chaguo kutoka 6 vyuo. Bachelor of Arts in EnglishBachelor of Arts in English Language and LinguisticsBachelor of Arts in KiswahiliBachelor of Arts in Kiswahili and Creative StudiesBachelor of Arts in LanguagesBachelor of Arts in Literature and English Language Studies Biashara, Uchumi, Uhasibu na Management 261 chaguo kutoka 63 vyuo. Bachelor Degree in AccountancyBachelor Degree in Agricultural Statistics and EconomicsBachelor Degree in Business Statistics and EconomicsBachelor Degree in Economics of DevelopmentBachelor degree in Digital MarketingBachelor of Accountancy Maendeleo ya Jamii na Huduma za Jamii 39 chaguo kutoka 24 vyuo. Bachelor Degree in Community DevelopmentBachelor Degree in Gender and DevelopmentBachelor Degree in Project Management for Community DevelopmentBachelor Degree in Social WorkBachelor of Arts in Applied Philosophy and Community DevelopmentBachelor of Arts in Community Development Utalii, Ukarimu na Urithi 14 chaguo kutoka 10 vyuo. Bachelor Degree in Tourism ManagementBachelor Degree in Wildlife ManagementBachelor of Arts in Cultural Anthropology and TourismBachelor of Arts in Cultural Heritage and TourismBachelor of Arts in Historic Archives and Heritage StudiesBachelor of Arts in History and Cultural Heritage Jiografia, Mazingira, Ardhi na Mipango 31 chaguo kutoka 15 vyuo. Bachelor Degree in Development PlanningBachelor Degree in Environmental Planning and ManagementBachelor of Science in Aquatic Environmental Sciences and ConservationBachelor of Science in Housing and Infrastructure PlanningBachelor of Science in Regional Development PlanningBachelor of Science in Urban and Regional Planning Kumbukumbu, Maktaba na Taarifa 13 chaguo kutoka 10 vyuo. Bachelor Degree in Records and Achieves ManagementBachelor Degree in Records, Archives and Information ManagementBachelor Degree in Secretarial Studies and AdministrationBachelor of Arts in History and Archives ManagementBachelor of Arts in Library and Information StudiesBachelor of Arts in Library, Records and Information Management Jedwali la Kozi, Vyuo, Vigezo na Combination Zinazokubalika Tumia search na filters kupata kozi kwa combination, chuo, kundi, programme code au vigezo. Bonyeza “Fungua vigezo” kuona masharti ya programme husika. Tafuta kozi, chuo, code au vigezo CombinationCombination zoteHGL – History, Geography and English Language (512)HGK – History, Geography and Kiswahili (504)HKL – History, Kiswahili and English Language (480)KLF – Kiswahili, English Language and French (451)ECA – Economics, Commerce and Accountancy (523)HGE – History, Geography and Economics (605) Kundi la koziMakundi yoteElimu na UalimuSheriaUtawala, Siasa na DiplomasiaHabari, Mawasiliano na Public RelationsLugha, Fasihi na TafsiriBiashara, Uchumi, Uhasibu na ManagementMaendeleo ya Jamii na Huduma za JamiiUtalii, Ukarimu na UrithiJiografia, Mazingira, Ardhi na MipangoKumbukumbu, Maktaba na Taarifa ChuoVyuo vyoteAbdulrahman Al- Sumait University (SUMAIT), ZanzibarArchbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA), TaboraArdhi University (ARU), Dar es SalaamArusha Technical College (ATC), ArushaCatholic University of Mbeya (CUoM), MbeyaCollege of African Wildlife Management (CAWM), Mweka- KilimanjaroCollege of Business Education (CBE), Dar es SalaamCollege of Business Education (CBE), DodomaCollege of Business Education (CBE), MbeyaCollege of Business Education (CBE), MwanzaDar es Salaam Maritime Institute (DMI), Dar es SalaamDar es Salaam Tumaini University (DarTU), Dar es SalaamDar es Salaam University College of Education (DUCE), Dar es SalaamDr. Salim Ahmed Salim Centre for Foreign Relations (CFR), Dar es SalaamEastern Africa Statistical Training Centre (EASTC), Dar es SalaamInstitute of Accountancy Arusha (IAA), ArushaInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Babati CampusInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Dar es Salaam CampusInstitute of Adult Education (IAE), Dar es SalaamInstitute of Finance Management (IFM), Dar es SalaamInstitute of Finance Management (IFM), DodomaInstitute of Finance Management (IFM), MwanzaInstitute of Finance Management (IFS), SimiyuInstitute of Public Administration (IPA), ZanzibarInstitute of Rural Development Planning (IRDP), DodomaInstitute of Rural Development Planning (IRDP), MwanzaInstitute of Social Work (ISW) Kisangara Campus, KilimanjaroInstitute of Social Work (ISW), Dar es SalaamInstitute of Tax Administration (ITA), Dar es SalaamJordan University College (JUCo), MorogoroKairuki University (KU), Dar es SalaamKampala International University in Tanzania (KIUT), Dar es SalaamKizumbi Institute of Co-operative and Business Education (KICoB), ShinyangaLocal Government Training Institute (LGTI), DodomaMS

Universities

Kozi zote unazoweza kusoma kwa PCM, PCB, PGM, EGM, CBG, CBA na CBN

Devine Vision Tech • Mwongozo wa Combination za Kidato cha Sita Kozi zote unazoweza kusoma kwa PCM, PCB, PGM, EGM, CBG, CBA na CBN Makala hii inaonyesha kozi, vyuo, vigezo, pointi, nafasi na mahali vinapopatikana kwa wanafunzi waliosoma combinations za PCM, PCB, PGM, EGM, CBG, CBA na CBN. Imeandaliwa kwa matumizi ya kielimu ili mwanafunzi apate picha pana kabla ya kuhakiki taarifa kwenye TCU na chuo husika. 7Combinations 892Chaguo za kozi/chuo 89/93Vyuo vilivyoonyesha match 570Majina ya kozi Angalizo muhimu kwa wanafunzi Orodha hii ni kwa educational purpose. Inasaidia mwanafunzi kuona mwelekeo wa kozi kulingana na masomo ya combination. Si barua ya udahili na si mbadala wa guidebook rasmi. Lazima uhakiki kabla ya kuomba: pitia TCU, tovuti ya chuo husika, admission system ya chuo, HESLB kama unahitaji mkopo, na tangazo rasmi la mwaka husika. Kozi inaweza kuonekana inafaa lakini chuo kikaweka grade, subject au competition ya ziada. Uchambuzi umezingatia masomo yaliyoandikwa kwenye vigezo vya programmes. Pale ambako vigezo vinatumia maneno kama “two principal passes in the following subjects”, combination imeingizwa kama ina angalau masomo mawili yanayolingana. Kwa programu zinazotaja “three principal passes”, combination imehitaji masomo matatu yanayolingana. Combinations na maeneo yanayofaa PCM Physics, Chemistry and Mathematics Njia pana kwa engineering, TEHAMA, sayansi, elimu, baadhi ya afya na kozi nyingi za management. 810 chaguo87 vyuo535 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaUhandisi, Ujenzi na TeknolojiaTEHAMA, Data na KompyutaSayansi Asilia na Hisabati PCB Physics, Chemistry and Biology Njia kuu ya afya, sayansi za tiba, biolojia, elimu ya sayansi na baadhi ya mazingira/kilimo. 804 chaguo89 vyuo523 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaUhandisi, Ujenzi na TeknolojiaTEHAMA, Data na KompyutaAfya na Sayansi za Tiba PGM Physics, Geography and Mathematics Njia nzuri kwa TEHAMA, engineering baadhi, geography, planning, environment, data na education. 812 chaguo85 vyuo530 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaUhandisi, Ujenzi na TeknolojiaTEHAMA, Data na KompyutaElimu na Ualimu EGM Economics, Geography and Mathematics Njia nzuri kwa biashara, uchumi, statistics, planning, data, management na baadhi ya geography. 716 chaguo79 vyuo459 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaTEHAMA, Data na KompyutaElimu na UalimuLugha, Sanaa na Mawasiliano CBG Chemistry, Biology and Geography Njia nzuri kwa afya zinazokubali biology/chemistry, mazingira, nutrition, agriculture, geography na education. 709 chaguo84 vyuo472 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaTEHAMA, Data na KompyutaSayansi Asilia na HisabatiLugha, Sanaa na Mawasiliano CBA Chemistry, Biology and Agriculture Njia nzuri kwa agriculture, food, nutrition, animal/plant sciences, baadhi ya health na education. 666 chaguo82 vyuo438 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaTEHAMA, Data na KompyutaLugha, Sanaa na MawasilianoSayansi Asilia na Hisabati CBN Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition Njia nzuri kwa nutrition, health, food science, education na baadhi ya social/management programmes. 668 chaguo84 vyuo436 majina ya kozi Biashara, Uchumi na FedhaTEHAMA, Data na KompyutaLugha, Sanaa na MawasilianoSayansi Asilia na Hisabati Makundi makubwa ya kozi Makundi haya yanasaidia kutafuta kwa haraka. Majina halisi ya kozi yameachwa kama yalivyo kwenye guidebook. Biashara, Uchumi na Fedha 267 chaguo za kozi/chuo, 64 vyuo. Uhandisi, Ujenzi na Teknolojia 106 chaguo za kozi/chuo, 18 vyuo. Elimu na Ualimu 74 chaguo za kozi/chuo, 36 vyuo. TEHAMA, Data na Kompyuta 71 chaguo za kozi/chuo, 34 vyuo. Afya na Sayansi za Tiba 65 chaguo za kozi/chuo, 23 vyuo. Sayansi Asilia na Hisabati 63 chaguo za kozi/chuo, 20 vyuo. Lugha, Sanaa na Mawasiliano 61 chaguo za kozi/chuo, 21 vyuo. Jamii, Maendeleo na Taarifa 40 chaguo za kozi/chuo, 24 vyuo. Jiografia, Mazingira, Ardhi na Mipango 39 chaguo za kozi/chuo, 19 vyuo. Nyingine 28 chaguo za kozi/chuo, 19 vyuo. Kilimo, Mifugo na Chakula 24 chaguo za kozi/chuo, 8 vyuo. Sheria 21 chaguo za kozi/chuo, 19 vyuo. Utawala, Siasa na Diplomasia 20 chaguo za kozi/chuo, 16 vyuo. Utalii, Ukarimu na Maliasili 13 chaguo za kozi/chuo, 8 vyuo. Jedwali kuu: kozi, vyuo, vigezo, pointi na mahali Tumia filters kuchagua combination yako. Bonyeza “Fungua vigezo” ili kuona maneno ya vigezo vya kujiunga kwa kila kozi katika chuo husika. Tafuta kozi, chuo, code au subject CombinationZotePCM – Physics, Chemistry and MathematicsPCB – Physics, Chemistry and BiologyPGM – Physics, Geography and MathematicsEGM – Economics, Geography and MathematicsCBG – Chemistry, Biology and GeographyCBA – Chemistry, Biology and AgricultureCBN – Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition Kundi la koziMakundi yoteAfya na Sayansi za TibaBiashara, Uchumi na FedhaElimu na UalimuJamii, Maendeleo na TaarifaJiografia, Mazingira, Ardhi na MipangoKilimo, Mifugo na ChakulaLugha, Sanaa na MawasilianoNyingineSayansi Asilia na HisabatiSheriaTEHAMA, Data na KompyutaUhandisi, Ujenzi na TeknolojiaUtalii, Ukarimu na MaliasiliUtawala, Siasa na Diplomasia ChuoVyuo vyoteAbdulrahman Al- Sumait University (SUMAIT), ZanzibarAga Khan University (AKU), Dar es SalaamArchbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA), TaboraArdhi University (ARU), Dar es SalaamArusha Technical College (ATC), ArushaCatholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), MwanzaCatholic University of Mbeya (CUoM), MbeyaCollege of African Wildlife Management (CAWM), Mweka- KilimanjaroCollege of Business Education (CBE), Dar es SalaamCollege of Business Education (CBE), DodomaCollege of Business Education (CBE), MbeyaCollege of Business Education (CBE), MwanzaDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Dar es SalaamDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Mwanza CampusDar es Salaam Maritime Institute (DMI), Dar es SalaamDar es Salaam Tumaini University (DarTU), Dar es SalaamDar es Salaam University College of Education (DUCE), Dar es SalaamDr. Salim Ahmed Salim Centre for Foreign Relations (CFR), Dar es SalaamEastern Africa Statistical Training Centre (EASTC), Dar es SalaamInstitute of Accountancy Arusha (IAA), ArushaInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Babati CampusInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Dar es Salaam CampusInstitute of Adult Education (IAE), Dar es SalaamInstitute of Finance Management (IFM), Dar es SalaamInstitute of Finance Management (IFM), DodomaInstitute of Finance Management (IFM), MwanzaInstitute of Finance Management (IFS), SimiyuInstitute of Public Administration (IPA), ZanzibarInstitute of Rural Development Planning (IRDP), DodomaInstitute of Rural Development Planning (IRDP), MwanzaInstitute of Social Work (ISW) Kisangara Campus, KilimanjaroInstitute of Social Work (ISW), Dar es SalaamInstitute of Tax Administration (ITA), Dar es SalaamJordan University College (JUCo), MorogoroKCMC University, KilimanjaroKairuki University (KU), Dar es SalaamKampala International University in Tanzania (KIUT), Dar es SalaamKarume Institute of Science and Technology (KIST), ZanzibarKizumbi Institute of Co-operative and Business Education (KICoB), ShinyangaLocal Government Training Institute (LGTI), DodomaMS Training Centre for Development Cooperation (MS-TCDC), ArushaMarian University College (MARUCo), BagamoyoMbeya University of Science and Technology (MUST), MbeyaMbeya University

Universities

Mwongozo wa Kozi Zote za Degree Tanzania 2026/2027: Makundi, Vigezo na Vyuo

Mwongozo wa Kozi Zote za Degree Tanzania 2026/2027: Makundi, Vigezo na Vyuo | Devine Vision Tech TCU Bachelor’s Admission Guidebook 2026/2027 Mwongozo wa Kozi Zote za Degree Tanzania 2026/2027: Makundi, Vigezo na Vyuo Tafuta kozi ya bachelor, chuo, programme code au kundi la taaluma. Kila chaguo lina vigezo rasmi vya TCU, pointi za taasisi na kiungo cha ukurasa wa guidebook. Tafuta Kozi SasaFungua TCU Guidebook 982chaguo za programu kwa vyuo 624majina tofauti ya programu 93vyuo na taasisi 15makundi ya kutafutia Makala Hii Inakusaidia Nini? Mwongozo huu umekusanya programu zilizoidhinishwa kuingiza wanafunzi katika mzunguko wa udahili wa 2026/2027. Unaweza kulinganisha kozi, vyuo na masharti bila kupitia kurasa zote za guidebook moja baada ya nyingine. Kumbuka: Makundi ya taaluma yametengenezwa na Devine Vision Tech ili kurahisisha utafutaji. Si makundi rasmi ya TCU. Jina la programu, programme code na vigezo rasmi vinafuata guidebook. Pointi za chini si uhakika wa kuchaguliwa. Chuo huzingatia ushindani, nafasi, grade za masomo, masharti ya O-Level na uwezo wa programu. Hakiki tena kwenye mfumo rasmi wa chuo kabla ya kutuma maombi. Vigezo vya Jumla vya Kujiunga na Degree Form Six kuanzia 2016 Principal passes mbili zenye grade E au zaidi, zikiwa na jumla ya angalau pointi 4.0 katika masomo yanayotumika kwenye kozi. Waliohitimu kabla ya 2014 Principal passes mbili zenye grade E au zaidi na jumla ya angalau pointi 4.0 katika masomo ya programu. Waliohitimu 2014–2015 Principal passes mbili zenye grade C au zaidi na jumla ya angalau pointi 4.0 kwa mfumo wa pointi uliotumika katika miaka hiyo. Masharti ya programu ndiyo ya mwisho: Kozi inaweza kuhitaji Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography, Economics, lugha au somo jingine maalumu. Baadhi pia zinataka subsidiary pass au grade maalumu O-Level. Vigezo vya Msingi kwa Baadhi ya Kozi za Afya Kozi za afya zina masharti yaliyosawazishwa, lakini chuo kinaweza kuongeza kiwango. Tumia jedwali kama muhtasari, kisha fungua mstari wa chuo unachotaka. Programu Muhtasari wa vigezo Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery, Bachelor of Pharmacy Physics, Chemistry na Biology; principal passes 3, angalau pointi 6, na angalau D katika kila somo. Medical Laboratory Sciences, Radiation Therapy, Prosthetics and Orthotics Physics, Chemistry na Biology; pointi 6; angalau C Chemistry, D Biology na E Physics. Nursing Chemistry, Biology na Physics au Advanced Mathematics au Nutrition; pointi 6; grade maalumu zinahitajika. Environmental Health Sciences Chemistry, Biology na mojawapo ya Physics, Advanced Mathematics, Nutrition, Geography au Agriculture; pointi 6. Physiotherapy na Health Laboratory Kwa kawaida Physics, Chemistry na Biology, pointi 6, pamoja na grade maalumu katika masomo hayo. Clinical Nutrition and Dietetics Chemistry, Biology na somo la tatu linalokubalika; pointi 6 na angalau C katika mojawapo ya masomo yaliyoainishwa. Makundi ya Kozi za Degree Bonyeza kundi ili kufungua moja kwa moja kozi zake kwenye jedwali. Afya, Tiba na Sayansi Shirikishi63chaguo za programuBachelor of Engineering in Biomedical Engineering, Bachelor of Environmental Health Sciences, Bachelor of Health Services Management, Bachelor of Health Systems ManagementElimu na Ualimu102chaguo za programuBachelor Degree in Accountancy and Economics with Education, Bachelor Degree in Adult and Continuing (ODL) Education, Bachelor Degree in Adult and Continuing Education, Bachelor Degree in Business Studies with EducationTEHAMA, Kompyuta na Data99chaguo za programuBachelor Degree in Computer Science, Bachelor Degree in Data Science, Bachelor Degree in Education with Mathematics and Information Technology, Bachelor Degree in Hardware and Networking TechnologyUhandisi, Teknolojia na Ujenzi92chaguo za programuBachelor Degree in Automobile Engineering, Bachelor Degree in Engineering Hydrology, Bachelor Degree in Marine Engineering Technology, Bachelor Degree in Mechanical EngineeringSayansi Asilia, Hisabati na Takwimu44chaguo za programuBachelor Degree in Hydrogeology and Drilling, Bachelor Degree in Laboratory Science and Industrial Technology, Bachelor Degree in Official Statistics, Bachelor Degree in StatisticsKilimo, Mifugo, Misitu na Mazingira61chaguo za programuBachelor Degree in Agricultural Statistics and Economics, Bachelor Degree in Natural Resources Management, Bachelor Degree in Wildlife Management, Bachelor of Agricultural Investment and BankingBiashara, Uhasibu, Fedha na Uchumi265chaguo za programuBachelor Degree in Accountacy and Finance, Bachelor Degree in Accountancy, Bachelor Degree in Accountancy and Finance, Bachelor Degree in Accountancy and TaxationSheria, Utawala, Siasa na Mahusiano ya Kimataifa48chaguo za programuBachelor Degree in Governance and Strategic Leadership, Bachelor Degree in International Relations and Diplomacy, Bachelor Degree in Leadership and Governance, Bachelor Degree in Leadership, Ethics and GovernanceSayansi za Jamii na Maendeleo ya Jamii64chaguo za programuBachelor Degree in Adult Education and Community Development, Bachelor Degree in Alternative Dispute Resolution, Bachelor Degree in Community Development, Bachelor Degree in Community Development for water supply and sanitationSanaa, Lugha, Habari na Mawasiliano56chaguo za programuBachelor of Arts (Mass Communication), Bachelor of Arts in Anthropology, Bachelor of Arts in Archaeology, Bachelor of Arts in Archaeology and Cultural AnthropologyUtalii, Ukarimu, Usafiri na Logistics45chaguo za programuBachelor Degree in Accounting and Transport Finance, Bachelor Degree in Aircraft Maintenance Engineering, Bachelor Degree in Civil and Railway Engineering, Bachelor Degree in Logistics and Transport ManagementArdhi, Mipango Miji na Usimamizi wa Mazingira27chaguo za programuBachelor Degree in Development Planning, Bachelor Degree in Environmental Planning and Management, Bachelor Degree in Land Management and Valuation, Bachelor Degree in Population and Development Planning Development PlanningUsalama, Uhalifu na Forensic4chaguo za programuBachelor of Science in Cyber Security and Digital Forensics, Bachelor of Science in Cyber Security and Digital Forensics Engineering, Bachelor of Science in Cybersecurity and Digital Forensics, Bachelor of Security and Strategic StudiesDini na Teolojia11chaguo za programuBachelor in Islamic Banking & Finance, Bachelor of Arts in Religious Studies, Bachelor of Arts in Theology, Bachelor of DivinityProgramu Nyingine1chaguo za programuBachelor Degree in Adult Education and Community (ODL) Development Orodha Kamili ya Kozi, Vyuo na Vigezo Tafuta kwa jina la kozi, chuo, code au neno la somo kama Biology, Mathematics, History au Geography. Tafuta kozi, chuo, code au somo Kundi la taalumaMakundi yoteAfya, Tiba na Sayansi ShirikishiElimu na UalimuTEHAMA, Kompyuta na DataUhandisi, Teknolojia na UjenziSayansi Asilia, Hisabati na TakwimuKilimo, Mifugo, Misitu na MazingiraBiashara, Uhasibu, Fedha na UchumiSheria, Utawala, Siasa na Mahusiano ya KimataifaSayansi za Jamii na Maendeleo ya JamiiSanaa, Lugha, Habari na MawasilianoUtalii, Ukarimu, Usafiri na LogisticsArdhi, Mipango Miji na Usimamizi wa MazingiraUsalama, Uhalifu na ForensicDini na TeolojiaProgramu Nyingine Chuo au taasisiVyuo vyoteAbdulrahman Al- Sumait University (SUMAIT), ZanzibarAga Khan University (AKU), Dar es SalaamArchbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA), TaboraArdhi University (ARU), Dar es

Universities

Kozi Zote za Degree za Afya Tanzania 2026/2027, Vyuo na Vigezo

TCU Bachelor’s Admission Guidebook 2026/2027 Kozi Zote za Degree za Afya Tanzania 2026/2027, Vyuo na Vigezo Mwongozo huu unaonyesha kozi za afya na taaluma shirikishi zilizoonekana kwenye TCU Guidebook ya 2026/2027, vyuo vinavyotoa, programme code, pointi, nafasi, muda wa masomo na vigezo vya kila programu. Angalia Kozi na VyuoFungua TCU Guidebook 36Aina za programu 64Chaguo za kozi kwa vyuo 19Vyuo na taasisi 2026/27Mzunguko wa udahili Maana ya Orodha Hii Orodha inajumuisha udaktari, meno, ufamasi, maabara, uuguzi, tiba za urekebishaji, radiography, biomedical engineering, medical physics, afya ya mazingira, afya ya jamii, lishe, taarifa za afya, usimamizi wa afya na afya ya mifugo. Kigezo cha jumla: TCU inaeleza kuwa mwombaji wa A-Level anapaswa kuwa na principal passes zinazotakiwa na programu. Kozi nyingi za kliniki zinahitaji principal passes tatu na pointi 6 au zaidi, lakini masharti hutofautiana kwa programu na chuo. Muhimu: Masharti ya mstari wa chuo husika ndiyo ya kutumia. Baadhi ya taasisi huweka pointi 8, grade C katika somo maalumu au credit za O-Level hata pale kiwango cha jumla cha TCU ni cha chini. Jinsi ya Kutumia Orodha 1. Angalia masomo yanayotakiwaUsiangalie pointi pekee. Hakikisha una principal pass na grade maalumu katika kila somo lililotajwa. 2. Hakiki O-LevelBiomedical Engineering, Medical Physics na baadhi ya programu nyingine zina masharti ya Mathematics, Physics, Biology au English O-Level. 3. Fungua ukurasa wa TCUKila mstari una kiungo cha ukurasa husika wa guidebook na tovuti rasmi ya taasisi. Makundi ya Kozi za Afya Idadi ya chaguo inahesabu kozi moja inayotolewa na taasisi tofauti kama chaguo tofauti. Udaktari na Meno 2 aina za kozi, 12 chaguo za chuo. Doctor of Dental Surgery Doctor of Medicine Ufamasi na Maabara 5 aina za kozi, 9 chaguo za chuo. Bachelor of Medical Laboratory Science Bachelor of Medical Laboratory Sciences Bachelor of Pharmacy Bachelor of Science in Dental Laboratory Technology Bachelor of Science in Health Laboratory Uuguzi na Tiba za Urekebishaji 5 aina za kozi, 17 chaguo za chuo. Bachelor of Science in Audiology and Speech Language Pathology Bachelor of Science in Nursing Bachelor of Science in Occupational Therapy Bachelor of Science in Physiotherapy Bachelor of Science in Prosthetics and Orthotics Picha, Uhandisi na Fizikia ya Tiba 5 aina za kozi, 6 chaguo za chuo. Bachelor of Engineering in Biomedical Engineering Bachelor of Science in Biomedical Engineering Bachelor of Science in Diagnostic and Therapeutic Radiography Bachelor of Science in Medical Imaging and Radiotherapy Bachelor of Science in Physics (Medical Physics) Afya ya Mazingira, Jamii na Dharura 7 aina za kozi, 8 chaguo za chuo. Bachelor of Environmental Health Sciences Bachelor of Science in Disaster and Emergency Management Bachelor of Science in Environmental Health Bachelor of Science in Environmental Health and Sustainability Bachelor of Science in Environmental Health with Technology Bachelor of Science in Occupational Health and Environmental Safety Bachelor of Science in Public Health Lishe na Dietetics 4 aina za kozi, 4 chaguo za chuo. Bachelor of Science in Clinical Nutrition and Dietetics Bachelor of Science in Food and Human Nutrition Bachelor of Science in Food, Nutrition and Dietetics Bachelor of Science in Human Nutrition Taarifa na Usimamizi wa Afya 5 aina za kozi, 5 chaguo za chuo. Bachelor of Health Services Management Bachelor of Health Systems Management Bachelor of Health Systems in Monitoring and Evaluation Bachelor of Science in Health Informatics Bachelor of Science in Health Information Science Sayansi Maalumu za Afya 2 aina za kozi, 2 chaguo za chuo. Bachelor of Science in Medical Biotechnology Bachelor of Science in Medical Psychology Afya ya Mifugo 1 aina za kozi, 1 chaguo za chuo. Bachelor of Veterinary Medicine Vyuo na Taasisi Zinazotoa Kozi Hizi Tumia viungo hivi kufungua tovuti rasmi za taasisi. Mfumo wa maombi hupatikana kwenye tovuti ya chuo husika. Aga Khan University (AKU), Dar es Salaam 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), Mwanza 5 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Dar es Salaam Institute of Technology (DIT), Dar es Salaam 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi KCMC University, Kilimanjaro 6 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Kairuki University (KU), Dar es Salaam 2 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Mbeya University of Science and Technology (MUST), Mbeya 3 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Mkwawa University College of Education (MUCE), Iringa 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), Dar es Salaam 14 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Mzumbe University (MU), Morogoro 2 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Open University of Tanzania (OUT), Dar es Salaam 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Ruaha Catholic University (RUCU), Iringa 2 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Sokoine University of Agriculture (SUA), Morogoro 2 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi St. Francis University College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS), Ifakara 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi St. John's University of Tanzania (SJUT), Dodoma 2 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi St. Joseph University College of Health and Allied Sciences (SJCHAS), Dar es Salaam 1 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi State University of Zanzibar (SUZA), Zanzibar 5 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi University of Dar es Salaam (UDSM), Dar es Salaam 4 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi University of Dodoma (UDOM), Dodoma 7 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Zanzibar University (ZU), Zanzibar 4 chaguo za programu kwenye orodha hii. Tovuti rasmi Orodha Kamili ya Kozi, Vyuo na Vigezo Tafuta jina la kozi, chuo au programme code. Muhtasari wa Kiswahili unaambatana na maandishi rasmi yaliyopo kwenye TCU Guidebook. Tafuta kozi, chuo au code Kundi la koziMakundi yoteUdaktari na Meno (12)Ufamasi na Maabara (9)Uuguzi na Tiba za Urekebishaji (17)Picha, Uhandisi na Fizikia ya Tiba (6)Afya ya Mazingira, Jamii na Dharura (8)Lishe na Dietetics (4)Taarifa na Usimamizi wa Afya (5)Sayansi Maalumu za Afya (2)Afya ya Mifugo (1) ChuoVyuo vyoteAga Khan University (AKU), Dar

Universities

Kozi za Degree kwa PCB 2026/2027: Vyuo

Mwongozo wa TCU 2026/2027 Kozi za Degree kwa Mwanafunzi wa PCB 2026/2027 Mwongozo mpana wa kozi ambazo mwanafunzi wa Physics, Chemistry na Biology anaweza kuomba, ukiwa na vyuo, programme codes, pointi, muda wa masomo, nafasi za udahili na vigezo vya kila programu. Tafuta Kozi na ChuoFungua TCU Guidebook 680Programu zinazokubali PCB 89Vyuo na kampasi 12Makundi ya taaluma 426PCB inatajwa moja kwa moja 254Zenye masharti ya ziada Jibu la haraka PCB Inaweza Kusoma Kozi Gani? Mwanafunzi wa PCB ana nafasi kubwa zaidi kwenye afya, sayansi za maabara, bioteknolojia, kilimo, mazingira, elimu ya sayansi na baadhi ya kozi za teknolojia na uhandisi. Pia vyuo vingi vinakubali Physics, Chemistry au Biology kwenye kozi za biashara, usimamizi, jamii na mawasiliano. Afya na Tiba Doctor of Medicine, Dental Surgery, Pharmacy, Nursing, Medical Laboratory Sciences, Radiography, Physiotherapy, Optometry, Public Health na Nutrition. Sayansi na Maabara Biotechnology, Microbiology, Molecular Biology, Biochemistry, Chemistry, Biology, Laboratory Science, Forensic Science na Bioinformatics. Teknolojia na Mazingira Information Technology, Computer Science, Environmental Science, Agriculture, Food Science, Wildlife, Architecture na baadhi ya engineering kulingana na sharti la hesabu. Muhimu: Kuwa na combination ya PCB pekee hakutoshi. Angalia grade za kila somo, jumla ya pointi, masharti ya O-Level, Basic Mathematics, English na subsidiary pass yanayotajwa na chuo. Vigezo vya jumla Pointi za Kuomba Degree kwa Mhitimu wa Form Six Kozi zisizo za afya Kwa waliohitimu kuanzia 2016, kigezo cha jumla ni principal passes mbili za angalau E zenye jumla ya pointi 4.0 katika masomo yanayotambulisha programu. Chuo kinaweza kuweka kiwango cha juu zaidi. Kozi za afya Kozi nyingi za afya hutaka principal passes tatu katika Physics, Chemistry na Biology au mchanganyiko uliotajwa, pamoja na pointi 6 na grade maalumu kwa kila somo. Ushauri wa uchaguzi Jinsi ya Kuchagua Kozi Bora ya PCB 1. Linganisha grade zako Anza na kozi ambazo grade zako zinatimiza masharti yote, si jina la combination pekee. 2. Angalia ushindani Medicine, Pharmacy, Nursing na kozi nyingine maarufu zina ushindani mkubwa; weka chaguo mbadala zenye uhusiano wa karibu. 3. Chagua ujuzi wa baadaye Sayansi ya maabara, bioteknolojia, afya ya jamii, data, mazingira na teknolojia zinaweza kukupa njia nyingi za ajira na kujiajiri. Orodha shirikishi Kozi na Vyuo Vinavyokubali PCB 2026/2027 Tumia kisanduku cha utafutaji na filters kupata kozi, chuo, programme code au kundi la taaluma. Bonyeza “Soma vigezo” kuona masharti kamili ya TCU. Tafuta kozi, chuo au code Kundi la taalumaMakundi yoteAfya na TibaMaabara, Biolojia na BioteknolojiaTEHAMA, Data na KompyutaUhandisi, Ujenzi na TeknolojiaKilimo, Mifugo na ChakulaMazingira, Ardhi na MaliasiliElimu ya SayansiTakwimu na HisabatiUsafirishaji, Logistiki na BahariBiashara, Uchumi na UsimamiziSheria, Jamii na MawasilianoKozi Nyingine Zinazokubali PCB ChuoVyuo vyoteAbdulrahman Al- Sumait University (SUMAIT), ZanzibarAga Khan University (AKU), Dar es SalaamArchbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA), TaboraArdhi University (ARU), Dar es SalaamArusha Technical College (ATC), ArushaCatholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), MwanzaCatholic University of Mbeya (CUoM), MbeyaCollege of African Wildlife Management (CAWM), Mweka- KilimanjaroCollege of Business Education (CBE), Dar es SalaamCollege of Business Education (CBE), DodomaCollege of Business Education (CBE), MbeyaCollege of Business Education (CBE), MwanzaDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Dar es SalaamDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Mwanza CampusDar es Salaam Maritime Institute (DMI), Dar es SalaamDar es Salaam Tumaini University (DarTU), Dar es SalaamDar es Salaam University College of Education (DUCE), Dar es SalaamDr. Salim Ahmed Salim Centre for Foreign Relations (CFR), Dar es SalaamEastern Africa Statistical Training Centre (EASTC), Dar es SalaamInstitute of Accountancy Arusha (IAA), ArushaInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Babati CampusInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Dar es Salaam CampusInstitute of Finance Management (IFM), Dar es SalaamInstitute of Finance Management (IFM), DodomaInstitute of Finance Management (IFM), MwanzaInstitute of Finance Management (IFS), SimiyuInstitute of Public Administration (IPA), ZanzibarInstitute of Rural Development Planning (IRDP), DodomaInstitute of Rural Development Planning (IRDP), MwanzaInstitute of Social Work (ISW) Kisangara Campus, KilimanjaroInstitute of Social Work (ISW), Dar es SalaamInstitute of Tax Administration (ITA), Dar es SalaamJordan University College (JUCo), MorogoroKCMC University, KilimanjaroKairuki University (KU), Dar es SalaamKampala International University in Tanzania (KIUT), Dar es SalaamKizumbi Institute of Co-operative and Business Education (KICoB), ShinyangaLocal Government Training Institute (LGTI), DodomaMS Training Centre for Development Cooperation (MS-TCDC), ArushaMarian University College (MARUCo), BagamoyoMbeya University of Science and Technology (MUST), MbeyaMbeya University of Science and Technology (MUST)– Rukwa Campus CollegeMbeya University of Science and Technology – Mtwara Campus College of Technical Education (MUST – MCCTE)Mkwawa University College of Education (MUCE), IringaMoshi Co-operative University (MoCU), KilimanjaroMuhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), Dar es SalaamMuslim University of Morogoro (MUM), MorogoroMwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA) – Pemba CampusMwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), Dar es SalaamMwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), Zanzibar CampusMwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology (MNUAT), MusomaMwenge Catholic University (MWECAU), Hedaru Campus CollegeMwenge Catholic University (MWECAU), KilimanjaroMzumbe University (MU), MorogoroMzumbe University Dar es Salaam Campus College (MUDCCo), Dar es SalaamMzumbe University Mbeya Campus College (MUMCCo), MbeyaNational Institute of Transport (NIT), Dar es SalaamOpen University of Tanzania (OUT), Dar es SalaamRuaha Catholic University (RUCU), IringaSokoine University of Agriculture (SUA), MorogoroSokoine University of Agriculture – Mizengo Pinda Campus College (SUA-MPCCo), KataviSt. Augustine University of Tanzania (SAUT) Arusha Centre, ArushaSt. Augustine University of Tanzania (SAUT), MwanzaSt. Francis University College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS), IfakaraSt. John's University of Tanzania (SJUT), DodomaSt. Joseph University College of Engineering and Technology (SJCET), Dar es SalaamSt. Joseph University College of Health and Allied Sciences (SJCHAS), Dar es SalaamState University of Zanzibar (SUZA), ZanzibarStella Maris Mtwara University College (STEMMUCo), MtwaraTanzania Institute of Accountancy (TIA), Dar es SalaamTanzania Institute of Accountancy (TIA), KigomaTanzania Institute of Accountancy (TIA), MbeyaTanzania Institute of Accountancy (TIA), MtwaraTanzania Institute of Accountancy (TIA), MwanzaTanzania Institute of Accountancy (TIA), SingidaTanzania Institute of Accountancy (TIA), TangaTanzania Public Service College (TPSC), Dar es SalaamTanzania Public Service College (TPSC), TaboraTengeru Institute of Community Development (TICD), ArushaTeofilo Kisanji University (TEKU), MbeyaTumaini University Makumira (TUMA), ArushaUnique Academy Dar es Salaam (UAD)United African University of Tanzania (UAUT), Dar es SalaamUniversity of Arusha (UoA), ArushaUniversity of Dar es Salaam (UDSM), Dar es SalaamUniversity of Dodoma (UDOM), DodomaUniversity of Iringa (UoI), IringaWater Institute (WI), Dar es SalaamZanzibar University (ZU), Zanzibar Hali ya vigezoZotePCB inakubalikaPCB + sharti Ondoa

Universities

Kozi za Degree kwa CBG 2026/2027: Vyuo, Vigezo na Links | Devine Vision

Kozi za Degree kwa CBG 2026/2027: Vyuo, Vigezo na Links | Devine Vision Tech Mwongozo wa TCU 2026/2027 Kozi Bora za Degree kwa Mwanafunzi wa CBG 2026/2027 Orodha pana ya kozi zinazolingana na Chemistry, Biology na Geography, ikiwa na vyuo, programme codes, pointi, muda wa masomo, vigezo vya TCU na viungo rasmi vya kila chuo. Tafuta Kozi na Chuo Fungua TCU Guidebook 186Programu zilizochaguliwa 46Vyuo na kampasi 20Makundi ya taaluma 121CBG inakubalika moja kwa moja 65Zenye sharti la ziada Jibu la haraka Mwanafunzi wa CBG Anashauriwa Kusoma Kozi Gani? Mwanafunzi wa CBG ana nafasi nzuri katika kozi zinazotumia Biology, Chemistry, Geography, mazingira, data na teknolojia. Chaguo la kozi lisitegemee jina la kozi pekee; linganisha uwezo wako, vigezo vya chuo, gharama, mazingira ya kazi na ujuzi unaotaka kujenga. 01 Bioteknolojia na Bioinformatics Bioteknolojia, Food Biotechnology, Agricultural Biotechnology na Bioinformatics. Inafaa kwa anayependa maabara, viumbe hai, chakula na utafiti. 02 Microbiology na Laboratory Science Applied Microbiology, Chemistry, Laboratory Science na Environmental Laboratory Technology. Chaguo zuri kwa kazi za uchambuzi na udhibiti wa ubora. 03 IT, Computer Science na Software Information Technology, Computer Science, Software Engineering na Information Systems. Angalia masharti ya Hisabati katika kila chuo. 04 Data Science na Artificial Intelligence Data Science, Artificial Intelligence na Machine Learning. Kozi hizi zinahitaji uwezo mzuri wa mantiki na mara nyingi Hisabati ya ziada. 05 Cybersecurity na Digital Forensics Cyber Security, Information Security na Digital Forensics. Hizi ndizo programu za forensics zilizo wazi zaidi kwa CBG kwenye guidebook. 06 Environmental Health na Environmental Science Environmental Health, Sustainability, Climate Change na Environmental Management. Baadhi ya kozi za afya zinahitaji principal zote C, B na G pamoja na pointi 6. 07 GIS, Geomatics na Planning GIS, Remote Sensing, Urban Planning, Land Management, Architecture na Quantity Surveying. Programu nyingi zina sharti la Hisabati O-Level au subsidiary. 08 Food, Nutrition na Agriculture Food Science, Human Nutrition, Crop Science, Agribusiness, Animal Science, Forestry, Fisheries na Wildlife Management. 09 Health Informatics Health Informatics na Health Information Science huunganisha afya, data na teknolojia. 10 Ualimu wa Sayansi Bachelor of Science with Education na Education with Computer Science. Inafaa kwa anayependa kufundisha Chemistry, Biology, Geography au Computer Science. Muhimu kuhusu “Forensic Sciences”: kwenye TCU Guidebook ya 2026/2027, programu zinazoonekana wazi kwa CBG ni zaidi Cyber Security and Digital Forensics na Information Security. Usichukulie kuwa kila kozi yenye neno “forensic” ina vigezo sawa. Upeo wa orodha Orodha Hii Imejumuisha Nini? Programu zilizojumuishwa Jedwali limekusanya programu za sayansi, teknolojia, afya ya mazingira, maabara, kilimo, chakula, maliasili, GIS, mipango, ujenzi na ualimu wa sayansi ambazo CBG inaweza kukidhi moja kwa moja au baada ya kutimiza sharti la ziada. Programu ambazo hazikulengwa Baadhi ya degree za biashara, sanaa na jamii hukubali karibu combination yoyote. Hazijaorodheshwa zote hapa kwa sababu lengo ni kuonyesha kozi zinazohusiana moja kwa moja na nguvu za CBG na maeneo yaliyotajwa kwenye swali. Vigezo vya msingi Vigezo vya Jumla kwa Form Six Principal Passes Kwa aliyemaliza A-Level kuanzia 2016, kwa kawaida anahitaji principal passes mbili za grade E au zaidi katika masomo yanayotaja kozi. Jumla ya Pointi Kiwango cha jumla ni angalau pointi 4.0 kutoka principal mbili. Programu nyingine zinahitaji pointi 4.5, 5.0 au 6.0. Masharti ya Ziada Baadhi ya kozi zinahitaji Basic Mathematics O-Level, subsidiary/BAM, Physics O-Level, grade C katika Chemistry au principal zote tatu. Usichanganye CBG na PCB. Doctor of Medicine, Dental Surgery na Bachelor of Pharmacy zinahitaji Physics, Chemistry na Biology kama principal passes. CBG kwa kawaida haikidhi direct entry ya programu hizo. Jedwali shirikishi Kozi za Degree kwa CBG, Vyuo na Links Rasmi Tafuta kwa jina la kozi, chuo au programme code. Tumia vichujio kuona kozi ambazo CBG inakubalika moja kwa moja au zenye sharti la ziada. Tafuta kozi, chuo au code Kundi la taaluma Makundi yoteBioteknolojia na Bioinformatics (5)Microbiology (1)Biological na Chemical Sciences (8)Laboratory Science na Technology (6)Health Informatics (2)Afya ya Mazingira na Lishe (7)Computer Science (13)Software Engineering (1)Information Technology na Information Systems (27)Data Science na Artificial Intelligence (3)Forensics, Cybersecurity na Usalama wa Kidijitali (4)GIS, Geomatics na Remote Sensing (3)Architecture, Ujenzi na Real Estate (14)Mipango Miji, Ardhi na Landscape (7)Environmental Science na Climate Change (17)Food Science, Nutrition na Food Technology (7)Kilimo, Mifugo na Agribusiness (22)Maliasili, Misitu, Wanyamapori na Uvuvi (18)Geography na Environmental Studies (1)Ualimu wa Sayansi (20) Chuo Vyuo vyoteAbdulrahman Al- Sumait University (SUMAIT), ZanzibarArdhi University (ARU), Dar es SalaamArusha Technical College (ATC), ArushaCatholic University of Mbeya (CUoM), MbeyaCollege of Business Education (CBE), Dar es SalaamCollege of Business Education (CBE), DodomaDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Dar es SalaamDar es Salaam Institute of Technology (DIT), Mwanza CampusDar es Salaam Tumaini University (DarTU), Dar es SalaamDar es Salaam University College of Education (DUCE), Dar es SalaamEastern Africa Statistical Training Centre (EASTC), Dar es SalaamInstitute of Accountancy Arusha (IAA), ArushaInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Babati CampusInstitute of Accountancy Arusha (IAA), Dar es Salaam CampusInstitute of Finance Management (IFM), Dar es SalaamInstitute of Rural Development Planning (IRDP), DodomaJordan University College (JUCo), MorogoroKampala International University in Tanzania (KIUT), Dar es SalaamMarian University College (MARUCo), BagamoyoMbeya University of Science and Technology (MUST), MbeyaMbeya University of Science and Technology (MUST)– Rukwa Campus CollegeMkwawa University College of Education (MUCE), IringaMoshi Co-operative University (MoCU), KilimanjaroMuhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), Dar es SalaamMuslim University of Morogoro (MUM), MorogoroMwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology (MNUAT), MusomaMwenge Catholic University (MWECAU), Hedaru Campus CollegeMwenge Catholic University (MWECAU), KilimanjaroMzumbe University (MU), MorogoroNational Institute of Transport (NIT), Dar es SalaamOpen University of Tanzania (OUT), Dar es SalaamRuaha Catholic University (RUCU), IringaSokoine University of Agriculture (SUA), MorogoroSokoine University of Agriculture – Mizengo Pinda Campus College (SUA-MPCCo), KataviSt. John's University of Tanzania (SJUT), DodomaSt. Joseph University College of Engineering and Technology (SJCET), Dar es SalaamState University of Zanzibar (SUZA), ZanzibarStella Maris Mtwara University College (STEMMUCo), MtwaraTeofilo Kisanji University (TEKU), MbeyaTumaini University Makumira (TUMA), ArushaUnique Academy Dar es Salaam (UAD)United African University of Tanzania (UAUT), Dar es SalaamUniversity of Dar es Salaam (UDSM), Dar es SalaamUniversity of Dodoma (UDOM), DodomaWater Institute (WI), Dar es SalaamZanzibar University (ZU), Zanzibar Hali ya CBG ZoteCBG inakubalikaCBG + sharti Futa Vichujio Chapisha / PDF

Universities

Vigezo vya Mkopo wa Degree HESLB

Vigezo vya Mkopo wa Shahada HESLB 2026/2027 | Mwongozo Kamili Tanzania HESLB / Mikopo / Mkopo wa Shahada 2026/2027 Mwongozo Rasmi • HESLB 2026/2027 Vigezo vya Mkopo wa Shahada (Degree)HESLB 2026/2027 Tanzania Mwongozo kamili, unaotokana moja kwa moja na waraka rasmi wa HESLB — sifa za mwombaji, kozi 100+ zinazostahili, kiasi halisi cha mkopo, na hatua 8 za kuomba kupitia OLAMS. Imesasishwa: Juni 2026 Chanzo: Waraka Rasmi HESLB Dirisha: 19 Juni – 31 Agosti 2026 Kiswahili Ufunguzi 19 Juni 2026 Mwisho 31 Agosti 2026 March Intake Itatangazwa Dirisha la Rufaa Novemba 2026 Ada ya Maombi TZS 30,000 Yaliyomo 1 Mkopo ni Nini? 2 Dirisha la Maombi 3 Sifa za Mwombaji 4 Wanafunzi Wanaoendelea 5 Nyaraka Muhimu 6 Makundi ya Kipaumbele 7 Makundi ya Kozi 8 Cluster One 9 Cluster Two 10 Cluster Three 11 Kiasi cha Mkopo 12 Chakula na Malazi 13 Ada ya Chuo 14 Vitabu na Stationery 15 Research na FPT 16 Jinsi ya Kuomba 17 Ada ya Maombi 18 Angalia Matokeo 19 Rufaa ya Mkopo 20 Kulipa Mkopo 21 Makosa ya Kuepuka 22 FAQ 23 Hitimisho Mkopo wa Shahada HESLB 2026/2027 ni Nini? Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB — Higher Education Students’ Loans Board) ni taasisi ya Serikali ya Tanzania iliyoundwa chini ya Sheria ya HESLB ya mwaka 2004 na marekebisho yake. Lengo lake kuu ni kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ambao hawana uwezo wa kujigharamia. Mkopo wa Shahada (Degree Loan) ni ufadhili rasmi unaotolewa kwa wanafunzi wanaosomea ngazi ya Shahada ya Awali (Bachelor Degree) katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu zinazotambulika nchini Tanzania. Tofauti na mikopo ya benki, mkopo huu una masharti ya huruma — unaanza kulipwa tu baada ya mhitimu kupata kipato. Kwa Nini Mkopo wa HESLB ni Muhimu? Mkopo unalipwa moja kwa moja kwa chuo (ada) na kwa mwanafunzi moja kwa moja (maisha na vitabu), na unarejeshwa kwa utulivu baada ya kupata kazi au kipato. Kwa mwaka wa masomo 2026/2027, HESLB imeweka mwongozo mpya wenye maboresho katika kiasi cha mkopo, utaratibu wa malipo na mgawanyo wa makundi ya kozi. Makala hii inakupa maelezo kamili yanayotokana moja kwa moja na mwongozo rasmi. Dirisha la Maombi ya Mkopo 2026/2027 Maombi ya mkopo wa Shahada kwa mwaka 2026/2027 yanafanywa kupitia mfumo wa OLAMS (Online Loan Application and Management System) unaofikiwa kupitia SIPA (Student’s Individual Permanent Account). Tukio Tarehe Maelezo Ufunguzi wa Maombi 19 Juni 2026 Mwanzo rasmi wa kupokea maombi ya September Intake Mwisho wa Maombi 31 Agosti 2026 Tarehe ya mwisho kabisa — hakuna muda wa ziada March Intake Itatangazwa Tarehe zitatolewa baadaye na HESLB Dirisha la Rufaa Novemba 2026 Waombaji wasioridika wanaweza kukata rufaa Tahadhari Muhimu: Maombi yaliyowasilishwa baada ya tarehe ya mwisho hayakubaliwi kabisa. Hakuna muda wa ziada. Omba mapema na ujihakikishie kila nyaraka iko tayari. Mwongozo kamili wa HESLB unapatikana kwenye: www.heslb.go.tz Sifa za Jumla za Mwombaji Kwa mujibu wa Sheria ya HESLB, mwombaji wa mkopo wa Shahada lazima akidhi vigezo vyote vifuatavyo bila kukosa: Uraia wa Tanzania Lazima awe Mtanzania mwenye hati halali za uraia. Waombaji waliozaliwa nje wanahitaji barua maalumu kutoka RITA au ZCSRA. Umri Usiozidi Miaka 35 Mwombaji asiwe na umri zaidi ya miaka 35 wakati wa kuwasilisha ombi la mkopo mwaka 2026. Udahili Rasmi Awe amedahiliwa rasmi katika taasisi ya elimu ya juu inayotambulika nchini Tanzania — ya umma au binafsi. Ombi Kupitia OLAMS Ombi lazima liwasilishwe mtandaoni kupitia OLAMS pekee. Maombi ya karatasi au ya ana kwa ana hayakubaliwi. Hana Ajira Rasmi Asiwe na ajira au mkataba wa kazi wa sekta ya umma au binafsi unaompatia mshahara au kipato. Hana Ufadhili Mwingine Asistahili kama tayari ana mfadhili mwingine anayegharamia masomo yake. Alihitimu 2022–2026 Lazima awe amehitimu ACSEE au sawa ndani ya miaka 5 — yaani kati ya 2022 hadi 2026. NaPA na NIDA Awe na Anwani ya Kitaifa (NaPA) iliyotolewa na Wizara ya TEHAMA, na NIN/NIDA kama ana miaka 18+. Kuhusu Mdhamini (Guarantor): Kila mwombaji lazima awe na mdhamini mmoja mwenye umri wa miaka 18 au zaidi, mwenye NIN au Zanzibar Resident ID, na picha ya pasipoti. Mdhamini atajibu kwa ulipaji wa mkopo kama mwanafunzi atashindwa kulipa. Vigezo vya Wanafunzi Wanaoendelea (FTCA) Wanafunzi wa mwaka wa pili au zaidi wanaoomba mkopo kwa mara ya kwanza — wanaofahamika kama First-Time Continuing Applicants (FTCA) — wanahitaji kukidhi vigezo vya ziada mbali na vya jumla: # Kigezo Maelezo 1 Kufaulu Mitihani ya Mwaka Uliopita Mwanafunzi lazima awe amefaulu mitihani yote ya mwaka wake uliopita wa masomo 2 Matokeo Kuwasilishwa HESLB Matokeo ya mitihani lazima yawasilishwe HESLB kupitia afisa wa mkopo (loan desk officer) wa chuo husika 3 Barua ya Kurejea (Resumption Letter) Mwanafunzi aliyekuwa amesimamisha masomo lazima awasilishe barua ya kurejea kupitia ofisi ya mkopo ya chuo Ushauri kwa FTCA: Wasiliana na afisa wa mkopo wa chuo chako (Loan Desk Officer) mapema — wanahusika na kuwasilisha matokeo yako HESLB na kukusaidia kuhusu taratibu zote. Nyaraka Muhimu za Kuambatanisha Nyaraka unazotoa zinatofautiana kulingana na hali yako binafsi. Nyaraka zote lazima ziwe halali na zilizothibitishwa na mamlaka husika. Nyaraka Kwa Nani Chanzo / Maelezo Cheti cha Kuzaliwa Waombaji wote Namba ya uhakikisho kutoka RITA (Bara) au ZCSRA (Zanzibar) NaPA — Anwani ya Kitaifa Waombaji wote Lazima iwe ya sasa na halisi, imetolewa na Wizara ya TEHAMA NIDA / NIN Wenye miaka 18+ Ikiwemo watakaokuwa na miaka 18 kati ya Juni–Agosti 2026 Akaunti ya Benki Waombaji wote Inayofanya kazi (active), jina sawa na lililoko kwenye cheti cha CSEE Cheti cha Kifo cha Mzazi Yatima Kuthibitishwa rasmi na RITA au ZCSRA Fomu ya Ulemavu (Mwombaji) Mwombaji mwenye ulemavu Kuthibitishwa na DMO au RMO; au namba ya ulemavu kutoka PMO Fomu ya Ulemavu (Mzazi) Mzazi mwenye ulemavu Kuthibitishwa na DMO au RMO Namba ya TASAF Kaya za TASAF Namba ya mfadhilio wa kijamii kutoka Tanzania Social Action Fund Fomu ya Nyumba ya Yatima Waliokaa nyumba ya yatima Kuthibitisha msaada wa kifedha na kijamii tangu utotoni hadi udahili Barua ya MoHA / Magereza Wazazi walio gerezani Barua rasmi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani au Jeshi la Magereza Taarifa za Mdhamini Waombaji wote

Universities

Kozi Adimu na Zenye Ajira kwa Wahitimu wa PCB

Kozi Adimu na Zenye Ajira kwa Wahitimu wa PCB | DeVine Vision Tech Wahitimu wa PCB: Usiingie Kwenye Mtego wa Kozi Zilizojaa! Fahamu kozi adimu za Sayansi ya Afya zinazolipa vizuri na zenye soko kubwa la ajira nchini na kimataifa. MTEGO UNAOWANASA WAHITIMU WENGI WA PCB Kama wewe ni mhitimu wa Kidato cha Sita mchepuo wa PCB (Physics, Chemistry, Biology), hongera sana! Hata hivyo, usikubali kuingia kwenye mtego wa kusoma kozi ambazo zimeshajaa mitaani, iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Wanafunzi wengi hukimbilia kozi chache zilizozoleka (kama vile Utabibu wa kawaida, Uuguzi wa jumla, au Maabara za kawaida) na kujikuta wakisota mtaani kusaka ajira kwa miaka mingi kwa sababu ya ushindani mkubwa. Dunia ya sasa ya tiba inategemea sana teknolojia na ubingwa. Serikali na sekta binafsi zinajenga hospitali nyingi za kisasa zenye mitambo mikubwa, lakini wataalamu wa kuendesha na kutoa huduma kupitia mashine hizo za kisasa ni wachache mno! Hapa chini ni uchambuzi wa kina wa kozi unazopaswa kuzifikiria. Kozi 6 Adimu Zinazotawala Soko la Ajira Bachelor in Cardiovascular Technology Teknolojia ya Magonjwa ya Moyo Majukumu (Kazi Yake) Hawa ni wataalamu wa ngazi ya juu wanaosaidiana moja kwa moja na madaktari bingwa wa moyo (Cardiologists). Wanahusika na kuendesha mashine tata za kupima utendaji wa moyo kama vile ECG, Echocardiography (Ultrasound ya moyo), Holter monitoring, na kusaidia katika upasuaji mdogo na mkubwa wa moyo (Catheterization na Stenting) ndani ya maabara maalum za moyo (Cath Labs). Fursa za Ajira na Soko Uhaba Mkubwa: Kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama presha na moyo kutanuka, uhitaji wa vipimo vya moyo umeongezeka mara dufu ilhali wataalamu ni wa kuhesabika. Maeneo ya Ajira: Taasisi za moyo za Kitaifa (kama Jakaya Kikwete – JKCI), Hospitali za Kanda (KCMC, Bugando, Mbeya Zonal), na hospitali kubwa binafsi (Aga Khan, Saifee). Kipato: Ni taaluma inayoheshimika sana na yenye maslahi makubwa (High-paying specialty) kutokana na unyeti wa kazi yenyewe. Bachelor in Medical Imaging Technology Sayansi ya Picha za Kitiba (Radiology / Mionzi) Majukumu (Kazi Yake) Daktari wa kisasa hawezi kutibu ugonjwa wa ndani bila kuona picha! Kozi hii inakuandaa kuwa mtaalamu (Radiographer/Technologist) wa kuendesha mashine za kisasa za mionzi ikiwemo X-Ray, Ultrasound, CT-Scan, MRI (Magnetic Resonance Imaging), na Mammography. Wewe ndiye jicho la daktari kugundua vivimbe, mivunjiko, na magonjwa ya ndani. Fursa za Ajira na Soko Soko la Uhakika: Kila hospitali ya wilaya, mkoa, na binafsi inajengewa majengo ya mionzi (Radiology departments) kwa sasa. Wanahitaji watu wa kuendesha hizo mashine. Fursa ya Kujiajiri: Ukipata leseni, unaweza kufungua kituo chako cha picha (Diagnostic Center) au Ultrasound clinic, biashara ambayo inatengeneza mamilioni ya fedha kwa siku kwani vipimo vya mionzi ni ghali. Makampuni ya Kimataifa: Unaweza kuajiriwa na kampuni zinazosambaza hizi mashine (kama Siemens, GE Healthcare, Philips) kama ‘Application Specialist’ kufundisha wengine matumizi ya mashine. Bachelor in Optometry Utabibu na Sayansi ya Macho Majukumu (Kazi Yake) Mtaalamu wa Optometry anahusika na upimaji wa afya ya macho (vision testing), kugundua magonjwa ya macho (kama mtoto wa jicho/cataracts au presha ya macho/glaucoma), na kutoa vipimo sahihi vya miwani au lenzi (contact lenses) kurekebisha uwezo wa kuona. Fursa za Ajira na Soko Kazi Isiyo na Msongo: Tofauti na madaktari wa upasuaji au dharura, kazi hii ina utulivu mkubwa na haina zamu za usiku (night shifts) za kuchosha sana. Kujiajiri (Biashara yenye Faida): Hii ndio kozi namba moja kwa kujiajiri. Ukifungua duka lako la miwani (Optical Shop) na kliniki ya kupima macho, faida ya kuuza fremu na lenzi ni kubwa sana sokoni. Hospitali na NGOs: Taasisi maalum kama CCBRT, KCMC, na mashirika ya kuzuia upofu yana uhitaji endelevu wa wataalamu hawa. Bachelor in Anaesthesia Technology Sayansi ya Nusu Kaputi na Usingizi Majukumu (Kazi Yake) Hakuna daktari wa upasuaji (Surgeon) anayeweza kumgusa mgonjwa kwa kisu bila mtaalamu wa nusu kaputi. Utajifunza jinsi ya kumpa mgonjwa dawa za usingizi salama, kusimamia mapigo yake ya moyo na upumuaji wakati wote wa upasuaji (Theater operations), na kumwamsha mgonjwa salama. Fursa za Ajira na Soko “Hot Cake” Sokoni: Kuna uhaba mkubwa sana wa wataalamu wa usingizi (Anaesthetists) barani Afrika. Hospitali nyingi zinasimamisha upasuaji kwa kukosa mtaalamu huyu. Ajira ya Moja kwa Moja: Ukiwa na degree hii, unagombaniwa. Hospitali zote za wilaya, mkoa, kanda, na hospitali kubwa binafsi ziko tayari kukulipa mshahara mzuri ili ubaki kwao. Posho (Allowances): Kutokana na unyeti wa kazi ya chumba cha upasuaji (Theater), wataalamu hawa hupata posho nyingi za On-call na dharura. Bachelor in Dialysis Technology Teknolojia ya Usafishaji Damu (Figo) Majukumu (Kazi Yake) Wagonjwa ambao figo zao zimeshindwa kufanya kazi hutegemea mashine za kusafisha damu kuendelea kuishi. Mtaalamu huyu (Dialysis Technologist) huendesha mashine hizi (Hemodialysis machines), hutunza mishipa ya damu ya wagonjwa, na kusimamia ubora wa maji maalum yanayotumika katika usafishaji. Fursa za Ajira na Soko Ongezeko la Wagonjwa: Matatizo ya kisukari na presha yamesababisha ongezeko kubwa la wagonjwa wa figo. Kila hospitali sasa inalazimika kufungua kitengo cha Dialysis. Uhaba wa Wataalamu: Hii ni kozi mpya kiasi nchini, hivyo waliopo mtaani ni wachache mno kulinganisha na mahitaji ya vituo vipya vya kusafisha damu vinavyojengwa kila kukicha. Vituo Binafsi: Hospitali binafsi na vituo maalum vya Renal Care vinalipa mishahara minono sana kwa wataalamu hawa ili kuwavutia. Bachelor in Emergency Care Technology Tiba na Uokoaji wa Dharura (Paramedics) Majukumu (Kazi Yake) Hawa ndio mashujaa wa kwanza (First Responders). Utajifunza jinsi ya kuokoa maisha pale ajali zinapotokea au wagonjwa mahututi wanapofikishwa. Wana utaalamu wa kurejesha mapigo ya moyo (CPR), kuzuia damu kuvuja, na kuweka mirija ya kupumulia (intubation) ndani ya Ambulansi au chumba cha dharura (EMD) kabla daktari hajafika. Fursa za Ajira na Soko Mageuzi ya EMD: Serikali inajenga Idara za Dharura (Emergency Medicine Departments) katika kila hospitali ya wilaya na mkoa. Wataalamu hawa ndio wanaotakiwa kuendesha idara hizi. Huduma za Ambulansi: Ajira katika kampuni binafsi za uokoaji na ambulansi (kama Knight Support), Msalaba Mwekundu (Red Cross), na huduma za ndege za dharura (Air Ambulances). Migodini na Viwandani: Migodi mikubwa na miradi ya ujenzi (kama SGR au Bwawa la Nyerere) inalazimika kisheria kuwa na wataalamu hawa (Safety & Rescue Teams) kwenye kambi zao na hulipa vizuri sana. Share Na Wenzako Uwaokoe! Usisome makala hii na kukaa

Universities

Kozi za Uhandisi (Engineering Degree) Tanzania — Vyuo Vyote | Mwongozo Kamili wa TCU

Kozi za Uhandisi (Engineering Degree) Tanzania — Vyuo Vyote | Mwongozo Kamili wa TCU   Data halisi kutoka TCU Admission Guidebook  |    Vyuo 10+ Tanzania  |    Kozi 60+ za Uhandisi Mwongozo Rasmi — Kozi za Uhandisi Tanzania Kozi za Uhandisi (Engineering Degree) Tanzania:Vyuo Vyote na Vigezo vya Kuingia Orodha kamili ya kozi zote za uhandisi zinazotolewa na vyuo vilivyoidhinishwa na TCU nchini Tanzania — UDSM, DIT, MUST, NIT, DMI, ARU, SJCET, KIST, SAUT, ATC na zaidi. 10+Vyuo vya Uhandisi 60+Kozi za Engineering 4Miaka ya Masomo 4.0Pointi za Chini Utangulizi: Kozi za Uhandisi Tanzania Uhandisi ni moja ya nguzo kuu za maendeleo ya uchumi na miundombinu ya Tanzania. Vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania vinatoa kozi nyingi za uhandisi — kutoka uhandisi wa kiraia, umeme, mitambo, kompyuta, hadi uhandisi wa meli, migodi, mafuta, na mazingira. Wahitimu wa kozi hizi wana fursa nyingi za ajira ndani na nje ya nchi. Mwongozo huu unatoa taarifa kamili ya kozi zote za uhandisi zinazotolewa na vyuo vilivyoidhinishwa na Tanzania Commission for Universities (TCU) — ikiwa ni pamoja na msimbo wa kozi, vigezo vya kuingia, uwezo wa udahili, na muda wa masomo. Ngazi ya Elimu Kozi zote hapa ni za Shahada ya Kwanza (Bachelor’s Degree) — miaka 4 kwa wengi, baadhi ni miaka 3 au 5 (Usanifu wa Majengo). Masharti ya Jumla Nyingi zinahitaji Advanced Mathematics na Physics kama principal passes. Baadhi zinahitaji Chemistry kama subsidiary au O-Level. Fursa za Ajira Wahitimu wanafaa kufanya kazi katika TANESCO, TTCL, TPA, TAZARA, DAWASCO, Kampuni za Ujenzi, mashirika ya kimataifa na zaidi. Tahadhari Vigezo vinaweza kubadilika kila mwaka. Thibitisha moja kwa moja na chuo au TCU kabla ya kuwasilisha maombi. Masharti ya Msingi ya O-Level: Vyuo vingi vya uhandisi vinahitaji pia angalau daraja D au C katika Basic Mathematics, Physics, na/au Chemistry ya O-Level — hata kama haijatajwa wazi. Hakikisha unaangalia masharti kamili ya kila chuo. Vyuo Vyote Tanzania Vinavyotoa Kozi za Uhandisi Hapa chini ni kila chuo kilichoidhinishwa na TCU kutoa kozi za uhandisi ngazi ya degree — pamoja na kozi zake zote halisi, vigezo vya kuingia, uwezo, na muda wa masomo. University of Dar es Salaam (UDSM) — College of Engineering and Technology Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Umma Serikali # Kozi Msimbo Vigezo vya Kuingia (A-Level) Pointi Uwezo Muda 1 BSc in Chemical and Process Engineering UD013 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 60 Miaka 4 2 BSc in Computer Engineering and Information Technology UD014 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 63 Miaka 4 3 BSc in Electrical Engineering UD015 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 67 Miaka 4 4 BSc in Mining Engineering UD016 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 40 Miaka 4 5 BSc in Textile Engineering UD017 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 40 Miaka 4 6 BSc in Telecommunications Engineering UD019 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 67 Miaka 4 7 BSc in Engineering Geology UD026 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. Unahitajika kuwa na afya nzuri ya kimwili. 4.0 14 Miaka 4 8 BSc in Mechanical Engineering UD055 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 70 Miaka 4 9 BSc in Industrial Engineering UD056 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 50 Miaka 4 10 BSc in Metallurgy and Mineral Processing Engineering UD057 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 29 Miaka 4 11 BSc in Civil Engineering UD058 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Bila subsidiary katika Chemistry lazima awe na angalau C katika Chemistry ya O-Level. 4.0 213 Miaka 4 12 BSc in Petroleum Engineering UD060 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. Lazima awe na angalau subsidiary pass katika Chemistry. 4.5 24 Miaka 4 13 Bachelor of Architecture UD063 Principal passes mbili katika: Physics, Chemistry, Biology, Mathematics, Geography au Fine Arts. 4.0 30 Miaka 5 14 BSc in Agricultural Engineering and Mechanisation UD076 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. 4.0 57 Miaka 4 15 BSc in Quantity Surveying UD077 Principal passes mbili: Advanced Mathematics na Physics. 4.0 50 Miaka 4 Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) Dar es Salaam Taasisi ya Umma Serikali # Kozi Msimbo Vigezo vya Kuingia (A-Level) Pointi Uwezo Muda 1 Bachelor of Engineering in Civil Engineering DT001 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level. 4.0 65 Miaka 4 2 Bachelor of Engineering in Computer Engineering DT002 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level. 4.0 50 Miaka 4 3 Bachelor of Engineering in Electrical Engineering DT003 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level. 4.0 65 Miaka 4 4 Bachelor of Engineering in Electronics and Telecommunication Engineering DT004 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level. 4.0 50 Miaka 4 5 Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering DT005 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level. 4.0 55 Miaka 4 6 Bachelor of Engineering in Oil and Gas Engineering DT006 Principal passes mbili: Physics na Advanced Mathematics. Angalau pass katika Basic Mathematics na Physics ya O-Level.

Universities

Kozi za Ualimu (Degree) Tanzania — Vyuo Vyote | Mwongozo Kamili wa TCU

Kozi za Ualimu (Degree) Tanzania — Vyuo Vyote | Mwongozo Kamili wa TCU   Data halisi kutoka TCU Admission Guidebook  |    Vyuo 15+ Tanzania  |    Kozi 60+ za Ualimu Mwongozo Rasmi — Kozi za Ualimu Tanzania Kozi za Ualimu (Degree) Tanzania:Vyuo Vyote na Vigezo vya Kuingia Orodha kamili ya vyuo vyote vilivyoidhinishwa na TCU kutoa kozi za ualimu katika ngazi ya shahada ya kwanza Tanzania — kwa data halisi ya kila chuo, kila kozi, uwezo wa udahili, na muda wa masomo. 15+Vyuo vya Ualimu 60+Kozi za Ualimu 3Miaka ya Masomo 4.0Pointi za Chini Utangulizi: Kozi za Ualimu Tanzania Walimu ni nguzo ya msingi ya mfumo wa elimu Tanzania. Serikali na taasisi za elimu ya juu zinatoa kozi nyingi za ualimu katika ngazi ya degree ili kuhakikisha kuwa walimu wanaofundisha shuleni wana weledi wa kutosha. Kozi hizi zinamwezesha mhitimu kufundisha katika shule za sekondari, vyuo vya kati, na hata maeneo mengine ya elimu kama uongozi wa shule na ushauri. Mwongozo huu unatoa taarifa kamili kuhusu vyuo vyote Tanzania vilivyoidhinishwa na Tanzania Commission for Universities (TCU) kutoa kozi za ualimu — ikiwa ni pamoja na kozi za Bachelor of Arts with Education, Bachelor of Science with Education, Bachelor of Education, na maalum kama ualimu wa watoto wenye mahitaji maalum (Special Needs Education). Ngazi ya Elimu Kozi zote hapa ni za Shahada ya Kwanza (Bachelor’s Degree) — wengi wa kozi hizi huchukua miaka 3. Baadhi ni miaka 4–6 (haswa kwa OUT). Masharti ya Jumla Nyingi zinahitaji principal passes mbili katika masomo yanayohusiana na somo unalotaka kufundisha. Pointi za chini kwa ujumla ni 4.0 au 5.0. Fursa za Ajira Wahitimu wanaweza kufanya kazi kama walimu wa sekondari, wakurugenzi wa shule, washauri wa elimu, na zaidi nchini Tanzania na nje. Tahadhari Vigezo vinaweza kubadilika kila mwaka. Thibitisha moja kwa moja na chuo au TCU kabla ya kuwasilisha maombi. Ufafanuzi wa Pointi: Mfumo wa NECTA: A = 5, B = 4, C = 3, D = 2, E = 1, S = 0.5. Kwa mfano “5 from 3 subjects” inamaanisha angalau pointi 5 kutoka masomo 3 bora — yaani wastani wa B katika somo moja na C mbili au zaidi. Angalia masharti maalum ya kila kozi kwa undani. Aina za Kozi za Ualimu (Shahada ya Kwanza) Kozi za ualimu Tanzania zinaweza kugawanywa katika makundi makuu yafuatayo: Aina ya Kozi Maelezo Mafupi Unafundisha Nini Muda Bachelor of Arts with Education (BA Ed) Masomo ya sanaa pamoja na taaluma ya ufundishaji — historia, jiografia, Kiswahili, Kiingereza, uchumi na kadhalika. Mwalimu wa masomo ya sanaa shuleni Miaka 3 Bachelor of Science with Education (BSc Ed) Masomo ya sayansi pamoja na taaluma ya ufundishaji — fizikia, kemia, baiolojia, hisabati na kadhalika. Mwalimu wa masomo ya sayansi shuleni Miaka 3 Bachelor of Education in Arts (B.Ed Arts) Shahada ya elimu iliyolenga masomo ya lugha na sanaa — kufundisha masomo ya sanaa na uongozi wa elimu. Mwalimu wa sanaa / msimamizi wa elimu Miaka 3 Bachelor of Education in Science (B.Ed Science) Shahada ya elimu iliyolenga masomo ya sayansi — ufundishaji wa masomo ya sayansi na uongozi. Mwalimu wa sayansi / msimamizi wa elimu Miaka 3 Bachelor of Education in Special Needs (B.Ed SNE) Kozi maalum ya kufundisha wanafunzi wenye mahitaji maalum — viziwi, vipofu, na wenye ulemavu mwingine. Mwalimu wa wanafunzi wenye mahitaji maalum Miaka 3 Bachelor of Education in Early Childhood Ualimu wa watoto wadogo (miaka 0–8) — jinsi ya kufundisha na kukuza watoto katika umri wa mapema. Mwalimu wa watoto wadogo / shule ya awali Miaka 3 Bachelor of Education in Guidance & Counselling Ualimu uliounganishwa na ushauri nasaha — kusaidia wanafunzi kiakili, kijamii, na kimasomo. Mshauri wa Nasaha shuleni / taasisi Miaka 3 Bachelor of Education in Management & Policy Kozi ya uongozi na usimamizi wa mifumo ya elimu — inafundisha jinsi ya kusimamia shule na taasisi za elimu. Mkurugenzi wa Shule / Afisa wa Elimu Miaka 3 Bachelor Degree of Education (Mada Mbili) Kozi za MNMA — mwalimu aliyebobea katika masomo mawili maalum kama Kiswahili-Kiingereza, Historia-Jiografia n.k. Mwalimu wa masomo mawili shuleni Miaka 3 Bachelor of Education in Primary Education Kozi iliyolenga ufundishaji wa shule za msingi — mbinu za kufundisha watoto wadogo kwa ufanisi. Mwalimu wa shule za msingi / msimamizi Miaka 3 Vyuo Vyote Tanzania Vinavyotoa Kozi za Ualimu Hapa chini ni kila chuo kilichoidhinishwa na TCU kutoa kozi ya ualimu ngazi ya degree — pamoja na kozi zake zote halisi, msimbo, vigezo vya kuingia, uwezo wa udahili, na muda wa masomo. Dar es Salaam University College of Education (DUCE) Dar es Salaam Chuo cha Umma (chini ya UDSM) Serikali # Kozi Msimbo Vigezo vya Kuingia (A-Level) Pointi Uwezo Muda 1 Bachelor of Education in Arts UDD01 Principal passes mbili katika: History, Geography, Kiswahili, English, Literature, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy au Adv. Mathematics. 5.0 200 Miaka 3 2 Bachelor of Education in Science UDD02 Principal passes mbili katika: Physics, Chemistry, Biology au Advanced Mathematics. 4.0 200 Miaka 3 3 Bachelor of Science with Education UDD03 Principal passes mbili katika: Physics, Chemistry, Mathematics, Biology, Economics au Geography. 4.0 600 Miaka 3 4 Bachelor of Arts with Education UDD04 Principal passes mbili katika: History, Geography, Kiswahili, English, Literature, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy au Adv. Mathematics. 5 / 3 1,450 Miaka 3 Mkwawa University College of Education (MUCE) Iringa Chuo cha Umma (chini ya UDSM) Serikali # Kozi Msimbo Vigezo vya Kuingia (A-Level) Pointi Uwezo Muda 1 Bachelor of Education in Science UDM01 Principal passes mbili katika: Physics, Chemistry, Biology au Advanced Mathematics. 4.0 650 Miaka 3 2 Bachelor of Education in Arts UDM02 Principal passes mbili katika: History, Geography, Kiswahili, English, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy au Adv. Mathematics. 5 / 3 650 Miaka 3 3 Bachelor of Science with Education UDM03 Principal passes mbili katika: Physics, Chemistry, Advanced Mathematics, Biology, Economics au Geography. 4.0 600 Miaka 3 4 Bachelor of Arts with Education UDM04 Principal passes mbili katika: History, Geography, Kiswahili, English, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy au Adv. Mathematics. 5 / 3

App
Download DiplomaNet App, soma notes bila mtandao!
Scroll to Top