Tenzi za Rohoni 108 – Twenenda Sayuni

Tenzi za Rohoni 108 – Twenenda Sayuni

Tenzi Na. 108

Soma maneno kamili ya Tenzi za Rohoni namba 108, “Twenenda Sayuni”, kwa ajili ya ibada, kuimba na kujifunza.


Maneno ya Wimbo

Mpendao Bwana
Ije raha yenu!
Imbeni nyimbo za raha
Wa ibada yenu.
Twenenda Sayuni,
Mji mzuri Sayuni;
Twenenda juu Sayuni
Ni maskani ya Mungu.
Wasiimbe wao
wasioamini,
Watoto wa Mungu ndio
waimbao chini.
Twaona rohoni
Baraka za Mungu,
Tusijafika Mbinguni
Kwenye utukufu.
Tutakapo mwona
Masumbuko basi,
Huwa maji ya uzima,
Anasa halisi.
Tupaaze sauti,
Na fute machozi,
Twenenda kwa Imanweli
Naye ni Mwokozi.


Tazama Tenzi za Rohoni 1–164


Omba App ya Tenzi za Rohoni kwa Android

banner
Scroll to Top