Tenzi za Rohoni 40 – Nasikia Kwitwa

Tenzi za Rohoni 40 – Nasikia Kwitwa

Tenzi Na. 40

Soma maneno kamili ya Tenzi za Rohoni namba 40, “Nasikia Kwitwa”, kwa ajili ya ibada, kuimba na kujifunza.


Maneno ya Wimbo

Nasikia kwitwa
Na sauti yako
Nikasafiwe kwa damu
Ya kwangikwa kwako.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.
Ni mnuonge kweli,
Umenipa nguvu,
Ulivyonisafi taka,
Ni utimilivu.
Yesu hunijuvya;
Mapenzi, imani;
Tumai, amani, radhi,
Hapa na Mbinguni.
Huipa imara,
Kazi yake, ndani:
Huongezeka neema,
Ashindwe Shetani.
Huishuhudia,
Myoyo ya imani
Ya kuzipata ahadi,
Wakimuamini.
Napata wokovu,
Wema na neema;
kwako Bwana nina nguvu
Na haki daima.


Tazama Tenzi za Rohoni 1–164


Omba App ya Tenzi za Rohoni kwa Android

banner
Scroll to Top