Tenzi za Rohoni 27 – Mungu Ni Pendo

Tenzi za Rohoni 27 – Mungu Ni Pendo

Tenzi Na. 27

Soma maneno kamili ya Tenzi za Rohoni namba 27, “Mungu Ni Pendo”, kwa ajili ya ibada, kuimba na kujifunza.


Maneno ya Wimbo

Mungu ni pendo, apenda watu;
Mungu ni pendo, anipenda
Sikilizeni furaha yangu,
Mungu ni pendo, anipenda.
Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa shetani.
Akaja Yesu kuniokoa,
Yeye kanipa kuwa huru
Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote.


Tazama Tenzi za Rohoni 1–164


Omba App ya Tenzi za Rohoni kwa Android

banner
Scroll to Top