Diploma ya Physiotherapy Tanzania
Orodha kamili ya vyuo 21 vilivyosajiliwa – Serikali, Binafsi na FBO – kwa mwaka wa masomo 2026/2027
Physiotherapy (Tiba ya Viungo) ni taaluma ya afya inayomsaidia mgonjwa kupona kupitia mazoezi, massage, na vifaa maalum vya tiba — bila kutegemea vidonge au upasuaji peke yake. Kozi hii ina soko kubwa la ajira Tanzania na Afrika Mashariki.
1 Sifa za Kujiunga (Entry Requirements)
| Kigezo | Maelezo |
|---|---|
| Elimu ya Msingi | Cheti cha Kidato cha Nne (CSEE) – Certificate of Secondary Education Examination |
| Ufaulu wa Chini | Angalau Division IV (alama “D” katika masomo manne au zaidi) |
| Masomo ya Lazima | Lazima uwe umefaulu masomo ya Sayansi: Biology, Chemistry, na Physics |
| Muda wa Kozi | Miaka 3 (jumia ya miaka mitatu) |
| Msimamizi wa Kozi | NACTVET / HAS – Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi |
2 Utasoma Nini? (Curriculum Overview)
Anatomia & Physiolojia
Mfumo wa mwili wa binadamu: mifupa, misuli, mishipa ya damu, na jinsi viungo vinavyofanya kazi.
Ukarabati (Rehabilitation)
Kumsaidia mgonjwa aliyepooza, kuvunjika, au kugongwa kuanza tena kutembea na kutumia viungo.
Electrotherapy
Kutumia mashine za kisasa: Ultrasound, TENS, na Shortwave Diathermy kupunguza maumivu.
Tiba ya Mazoezi
Kuandaa mipango ya mazoezi maalum kwa mgonjwa kulingana na hali yake ya kiafya.
Magonjwa ya Viungo
Kujua magonjwa kama arthritis, back pain, stroke, na injuries za michezo.
Utendaji Kazi (Practicals)
Mafunzo ya vitendo hospitalini ili kupata uzoefu wa kweli wa kutibu wagonjwa.
3 Vyuo vya Serikali (Government Colleges)
Vyuo hivi vinasimamiwa na Serikali ya Tanzania. Kwa kawaida ada ni nafuu zaidi.
| # | Jina la Chuo | Mkoa / Wilaya | Ada (TSH/Mwaka) | Aina |
|---|---|---|---|---|
| 1 | Kilimanjaro College of Health and Allied Sciences | Moshi, Kilimanjaro | 1,300,000/= | Serikali |
| 2 | Mbeya College of Health and Allied Sciences | Mbeya Jiji, Mbeya | 1,155,400/= | Serikali |
| 3 | Mwanza College of Health and Allied Sciences | Nyamagana, Mwanza | 1,300,000/= | Serikali |
4 Vyuo vya FBO / Kanisa (Faith-Based Organizations)
Vyuo hivi vinasimamiwa na mashirika ya kidini. Huwa na nidhamu nzuri na mafunzo ya vitendo.
| # | Jina la Chuo | Mkoa / Wilaya | Ada (TSH/Mwaka) | Aina |
|---|---|---|---|---|
| 1 | Kolandoto College of Health Sciences | Shinyanga Wilayani, Shinyanga | 2,465,000/= | FBO |
5 Vyuo Binafsi – Dar es Salaam
| # | Jina la Chuo | Wilaya | Ada (TSH/Mwaka) | Aina |
|---|---|---|---|---|
| 1 | City College of Health and Allied Sciences | Temeke, Dar es Salaam | 1,600,000/= | Binafsi |
| 2 | City Institute of Health and Allied Sciences | Ilala, Dar es Salaam | 1,500,000/= | Binafsi |
| 3 | East Evans College of Health and Allied Sciences | Kigamboni, Dar es Salaam | 1,900,000/= | Binafsi |
| 4 | Excellent College of Health and Allied Sciences – Dar es Salaam | Kinondoni, Dar es Salaam | 1,600,000/= | Binafsi |
| 5 | KAM College of Health Sciences | Kinondoni, Dar es Salaam | 2,500,000/= | Binafsi |
| 6 | Kigamboni City College of Health and Allied Sciences | Kigamboni, Dar es Salaam | 1,800,000/= | Binafsi |
| 7 | Sir Edward College of Health and Allied Sciences | Kinondoni, Dar es Salaam | 1,600,000/= | Binafsi |
| 8 | Vignan Institute of Science and Technology | Kinondoni, Dar es Salaam | 1,700,000/= | Binafsi |
6 Vyuo Binafsi – Mikoa Mingine
| # | Jina la Chuo | Mkoa / Wilaya | Ada (TSH/Mwaka) | Aina |
|---|---|---|---|---|
| 1 | Baobab Institute of Tanzania | Bagamoyo, Pwani | 1,400,000/= | Binafsi |
| 2 | Chato College of Health Sciences and Technology | Chato, Geita | 1,300,000/= | Binafsi |
| 3 | City College of Health and Allied Sciences – Mwanza Campus | Magu, Mwanza | 1,600,000/= | Binafsi |
| 4 | Kilimanjaro Institute of Health Sciences | Arusha Jiji, Arusha | 1,800,000/= | Binafsi |
| 5 | Mgao Health Training Institute | Njombe Wilayani, Njombe | 1,600,000/= | Binafsi |
| 6 | Mkuranga College of Health and Allied Sciences | Mkuranga, Pwani | 1,400,000/= | Binafsi |
| 7 | Mlimba Institute of Health and Allied Science | Kilombero, Morogoro | 1,300,000/= | Binafsi |
| 8 | Taifa Institute of Health and Allied Sciences | Arusha Wilayani, Arusha | 1,900,000/= | Binafsi |
| 9 | Tandabui Institute of Health Sciences and Technology | Nyamagana, Mwanza | 1,800,000/= | Binafsi |
7 Maswali ya Kawaida (FAQ)
Unahitaji Msaada wa Kutuma Maombi?
Tunakusaidia kuchagua chuo bora kulingana na hali yako, na kukufanyia maombi ya kujiunga (Admission) kwa uhakika na haraka.
Huduma inapatikana Jumatatu–Jumamosi, 8:00 asubuhi – 6:00 jioni
